Kocha mpya wa Yanga, Sam Timbe, (kulia) akitoa maelekezo kwa wachezaji wa Yanga wakati alipoanza kazi rasmi ya kuinoa timu hiyo wakati wa mazoezi yao yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Kaunda Jangwani Dar es Salaam jana.
Waziri Kombo Ashiriki Mkutano wa Tisa wa Bahari ya Hindi Mauritius
-
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud
Thabit Kombo ameshiriki Mkutano wa Tisa wa Bahari ya Hindi, unaofanyika
jijini ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment