Habari za Punde

*RAAIS KIKWETE AIFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU SHEKH KASSIM ATHUMAN MTOPEA TEMEKE LEO

Rais Dr. Jakaya Kikwete, akizungumza na kuwafariji waombolezaji na ndugu wa Marehemu, Shekhe Kassim Mtopea, wakati alipokwenda nyumbani kwa Marehemu Temeke jijini Dar es Salaam kutoa pole kwa familia na ndugu leo mchana.
Rais Dr. Jakaya Kikwete, akisalimiana na baadhi ya watoto baada ya kuifariji familia ya marehemu Shekhe Kassim Mtopea nyumbani kwake Temeke jijini Dar es Salaam leo mchana. Marehemu Shekhe Mtopea, alifariki jana asubuhi (5/2/2011) baada ya kusumbuliwa na maradhi ya Kisukari na shinikizo la damu. Picha na Freddy Maro

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.