Meneja wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Kaskazini Mashariki, Kasiro Msangi (kushoto), akimkabidhi Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mkoa wa Kilimanjaro ya Mawenzi, Dk.Emmanuel Meagie, msaada wa magodoro 100 na vyandarua 100 vyenye thamani ya sh. mil. 6.Hafla hiyo ya makabidhiano ilifanyika katika hospitali hiyo mjini Moshi leo.
CAF YATANGAZA MAGEUZI MAKUBWA YA KIUCHUMI NA MKAKATI ZAIDI WA MAENDLEO
-
HASARA ndani ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) imepungua kutoka Dola za
Kimarekani Milioni 28.9 hadi Dola Milioni 9.2 kwa mwaka wa fedha wa
2022-2023.
H...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment