Nyumba zilizopo katika eneo la Barabara maeneo ya Kigogo jijini Dar es Salaam, zikianza kubomolewa ili kupisha upanuzi na ujenzi wa njia ya magari yaendayo kasi kama alivyoagiza Waziri wa Ujenzi John Magufuli hili karibuni, wakati alipofanya ziara na kupita katika Barabara hiyo iliyoanzia Ubungo Maziwa. Sasa Wakazi hao wameanza kutekeleza agizo hilo kwa kuanza kubomoa wenyewe nyumba hizo zilizo katika maeneo ya Barabara.
WAZIRI MKENDA ASIFU KAZI YA TIRA, ATAKA WAENDELEE KUVUTIA WAWEKEZAJI WAZAWA
-
Na Mwandishu wetu,Michuzi Tv
Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia. Adolf Mkenda amesifu shughuli
zinazofanywa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bima ya kusimami...
38 minutes ago
No comments:
Post a Comment