Habari za Punde

*UTEKELEZAJI WA AGIZO LA MAGUFULI KIGOGO LAANZA

Nyumba zilizopo katika eneo la Barabara maeneo ya Kigogo jijini Dar es Salaam, zikianza kubomolewa ili kupisha upanuzi na ujenzi wa njia ya magari yaendayo kasi kama alivyoagiza Waziri wa Ujenzi John Magufuli hili karibuni, wakati alipofanya ziara na kupita katika Barabara hiyo iliyoanzia Ubungo Maziwa. Sasa Wakazi hao wameanza kutekeleza agizo hilo kwa kuanza kubomoa wenyewe nyumba hizo zilizo katika maeneo ya Barabara.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.