Wakili wa wafanyabiashara wa eneo la Gerezani Dar es Salam, Sengondo Mvungi, akizungumza na wafanyabiashara wa eneo hilo wanaopinga amri ya Waziri wa Ujenzi, John Magufuli ya kuhama kwa ajili ya kupisha ujenzi wa mradi wa mabasi yaendayo kasi. Wafanyabiashara hao wamegomea agizo la Magufuli linalowataka kuhama eneo hilo wakipinga na kudai kuwa hawahami na kutishia machafuko iwapo Serikali itajaribu kuwaondoa katika eneo hilo. Ramani ya jengo linalotarajia kujengwa eneo hilo.
SERIKALI YASAINI MKATABA UJENZI DARAJA LA JANGWANI, BILIONI 97.1 KUTUMIKA.
-
Serikali imesaini mkataba wa ujenzi wa Daraja la Jangwani lenye urefu wa
mita 390 na barabara za maungio zenye urefu wa mita 700 katika barabara ya
Fire - ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment