Wadau wa nyamachoma na bidhaa zilizoandikwa katika Pub hii, ambao pia ni wapenzi na mashabiki wa damu na Mnyama Mwekundu yaani Simba Sports Club, je wanaweza kuinga mahala hapa kwa ajili ya kupata huduma zitolewazo mahala hapa? Nazani sasa ifikie mahali wafanyabiashara mfikirie mara mbilimbili majina ya kuandika katika sehemu za biashara ili uweze kupata wateja wa aina zote.Hapa nisehemu ya nje kama inavyoonekana na matangazo ya bidhaa zinazopatikana katika Pub hiyo.
Afya Bora Yatajwa Msingi wa Uchumi Imara na Tija kwa Taifa
-
UBORA wa rasilima watu( Afya na Maarifa) ndio sarafu ya dunia kwa sasa na
hivyo kete muhimu kwa Tanzania kujiunga na Mataifa tajiri mwaka 2050(
Trili...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment