Wadau wa nyamachoma na bidhaa zilizoandikwa katika Pub hii, ambao pia ni wapenzi na mashabiki wa damu na Mnyama Mwekundu yaani Simba Sports Club, je wanaweza kuinga mahala hapa kwa ajili ya kupata huduma zitolewazo mahala hapa? Nazani sasa ifikie mahali wafanyabiashara mfikirie mara mbilimbili majina ya kuandika katika sehemu za biashara ili uweze kupata wateja wa aina zote.Hapa nisehemu ya nje kama inavyoonekana na matangazo ya bidhaa zinazopatikana katika Pub hiyo.
SERIKALI KUENDELEA KUWEKEZA SEKTA YA UCHUKUZI, NIT YATAJWA NGUZO MUHIMU YA
UZALISHAJI WA WATAALAM
-
SERIKALI ya Awamu ya Sita imeahidi kuendelea kuwekeza kwa kiwango kikubwa
katika sekta ya uchukuzi ili kuhakikisha Taifa linakuwa na miundombinu
imar...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment