MAPAPARAZI NAO WAPIMA UZITO KUJIANDAA NA BONANZA KESHO
Sufianimafoto akipima uzito kwa ajili ya pambano lake lisilo la ubingwa na Rajab Mhamila, anayetarajia kuzindua DVD yake ya mchezo wa ngumi hapo kesho kwenye Bonanza la TASWA, inayoelezea maisha yake katika mchezo huo kabla ya kuamua kustaafu akiwa na umri mdogo kuliko bondia yeyote na kuingia katika fani ya uandishi.
MAMA NA BABA LISHE: SERIKALI YAJIPANGA UPYA KUBORESHA BIASHARA NA HUDUMA ZA
ULEZI NCHINI
-
Na Janeth Raphael-MichuziTv
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan,
amesisitiza dhamira ya serikali kuendelea kuimarisha mazing...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment