Habari za Punde

*POULSEN ATAJA KIKOSI KIPYA KITAKACHOIVAA AFRIKA YA KATI MACHI 26

Kocha Mkuu wa timu ya Taifa, Jan Poulsen akizungumza na waandishi wa Habari kwenye Ofisi za Shirikisho la mpira wa miguu nchini,( TFF) leo mchana wakati wa kutangaza kikosi cha wachezaji wanaounda timu ya Taifa kwa ajili ya kucheza na timu ya Jamhuri ya Kati katika michuano ya kuwania kufuzu kucheza Fainali za mataifa ya Afrika mwaka 2012 zitakazofanyika Ikweta ya Guinea na Gagon. Kulia ni Ofisa Habari wa Shirkisho hilo, Boniface Wambura na kushoto ni mwakilishi wa wadhamini, kutoka Kampuni ya, Allan Chonjo.
GOALKEEPERS:-
1:- Shaban Kado-Mtibwa Sugar
2:-Juma Kaseja-Simba
3:- Shaaban Dihile-JKT Ruvu
DEFENDERS:-
1:- Shadrack Nsajigwa-Yanga
2:- Aggrey Morris-Azam
3:- Nadir Haroub ‘Cannavaro’-Yanga
4:- Stephano Mwasika-Yanga
5:-Haruna Shamte-Simba
6:- Juma Nyosso-Simba
7:- Idrissa Rajab-Sofapaka (Kenya)
MIDFIELDERS:-
1:- Nurdin Bakar-Yanga
2:- Shaban Nditi-Mtibwa Sugar
3:- Jabir Aziz-Azam Fc
4:- Henry Joseph-Kongsvnger IL, (Norway)
5:- Abdi Kassim-DT Long An, (Vientnam)
6:- Mwinyi Kazimoto-JKT Ruvu
ATTACKERS:-
1:- Dan Mrwanda-DT Long An, (Vientnam)
2:- Nizar Khalfan-Vancouver Whitecaps,(Canada)
3:- Mrisho Ngasa-Azam Fc
4:- Mohamed Banka-Simba
5:- Athuman Machupa-Vasalund IF,(Sweden)

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.