

Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Asha Bakari akieleza jinsi wake wa viongozi, wawakilishi na wabunge wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Zanzibar walivyoguswa na maafa yaliyotokea wakati wa milipuka ya mabomu ya Gongo la mboto na hivyo kuamua kutoa msaada leo wa vyakula na nguo vikiwa na thamani ya shilingi milioni 6 na laki 8 kwaajili ya waathirika wa mabomu hayo. Picha na Anna Nkinda - Maelezo
No comments:
Post a Comment