Rais Jakaya Kikwete, akizungumza na Rais wa umoja wa wadau wa sekta ya uchumi ya Ufaransa (MEDEF) Philippe Gautier. Rais Kikwete alikutana na mgeni huyo baada ya kuhudhuria kikao cha 5 cha Mpango wa Uhamasishaji wa Uwazi na uwajibikaji katika Fasnia ya uziduaji (Extractive Industries Transparency Iniative),EITI,huko Paris nchini Ufaransa jana. PICHA NA JOHN LUKUWI
SERIKALI YAMWAGA TRILIONI 10 UJENZI WA BANDARI: MBAMBA BAY YAFIKIA ASILIMIA
47
-
Serikali ya Awamu ya Sita imeweka rekodi kwa kuwekeza zaidi ya shilingi
trilioni 10.08 katika utekelezaji wa miradi 22 ya ujenzi, upanuzi, na
maboresh...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment