Rais Jakaya Kikwete, akizungumza na Rais wa umoja wa wadau wa sekta ya uchumi ya Ufaransa (MEDEF) Philippe Gautier. Rais Kikwete alikutana na mgeni huyo baada ya kuhudhuria kikao cha 5 cha Mpango wa Uhamasishaji wa Uwazi na uwajibikaji katika Fasnia ya uziduaji (Extractive Industries Transparency Iniative),EITI,huko Paris nchini Ufaransa jana. PICHA NA JOHN LUKUWI
Madini Ujenzi, Viwandani Yenye Thamani Zaidi ya Trilioni Moja Yazalishwa
-
■ Ni madini muhimu kwenye Sekta ya Ujenzi
Imeelezwa kwamba, katika kipindi cha mwaka mmoja wa Fedha 2024/25 Madini
Ujenzi na Viwandani yenye thamani ya ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment