Rais Jakaya Kikwete, akizungumza na Rais wa umoja wa wadau wa sekta ya uchumi ya Ufaransa (MEDEF) Philippe Gautier. Rais Kikwete alikutana na mgeni huyo baada ya kuhudhuria kikao cha 5 cha Mpango wa Uhamasishaji wa Uwazi na uwajibikaji katika Fasnia ya uziduaji (Extractive Industries Transparency Iniative),EITI,huko Paris nchini Ufaransa jana. PICHA NA JOHN LUKUWI
SPACK KUZIKWA CHAMAZI KWA MKONGO KESHO
-
Aliyekuwa msanii wa Bongo Fleva, Selemani Mvamba almaarufu 'Spack',
anatarajiwa kuzikwa kesho Aprili 28 Chamazi kwa Mkongo.
Meneja wa msanii huyo Abd...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment