Shimo lililosababisha ajali ya mbunge wa Kyela mkoa wa Mbeya Dkt Mwakyembe limeibuka upya na sasa kuwa ni shimo kubwa kuliko awali. Tayari shimo hilo ambalo lilizibwa kwa haraka haraka na wakala wa barabara mkoa wa Iringa (TANROADs) baada ya ajali hiyo ya Dkt Herrison Mwakyembe ambaye kwa sasa ni naibu waziri wa ujenzi , hivi sasa limechimbika mara tatu zaidi barabara kuu ya Iringa -Mbeya katika eneo hilo la Mlima wa Ihemi na tayari ajali kadhaa zimeanza kutokea aneo hilo. Picha na Francis Godwin
NAIBU WAZIRI KIHENZILE ATEMBELEA BANDA LA TCAA MKUTANO WA 18 WA PAMOJA WA
MAPITIO YA SEKTA YA USAFIRISHAJI
-
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, Disemba 15, 2025
ametembelea banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) katika
Mkutano wa 18 wa...
55 minutes ago
No comments:
Post a Comment