Shimo lililosababisha ajali ya mbunge wa Kyela mkoa wa Mbeya Dkt Mwakyembe limeibuka upya na sasa kuwa ni shimo kubwa kuliko awali. Tayari shimo hilo ambalo lilizibwa kwa haraka haraka na wakala wa barabara mkoa wa Iringa (TANROADs) baada ya ajali hiyo ya Dkt Herrison Mwakyembe ambaye kwa sasa ni naibu waziri wa ujenzi , hivi sasa limechimbika mara tatu zaidi barabara kuu ya Iringa -Mbeya katika eneo hilo la Mlima wa Ihemi na tayari ajali kadhaa zimeanza kutokea aneo hilo. Picha na Francis Godwin
Benki ya CRDB Yashinda Tuzo ya Dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji Katika
Jamii Kupitia CRDB Bank Marathon
-
Benki ya CRDB imeshinda tuzo ya dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji katika
Jamii (International CSR Awards 2025) kupitia mbio zake za kimataifa ya
CRDB BANK...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment