Shimo lililosababisha ajali ya mbunge wa Kyela mkoa wa Mbeya Dkt Mwakyembe limeibuka upya na sasa kuwa ni shimo kubwa kuliko awali. Tayari shimo hilo ambalo lilizibwa kwa haraka haraka na wakala wa barabara mkoa wa Iringa (TANROADs) baada ya ajali hiyo ya Dkt Herrison Mwakyembe ambaye kwa sasa ni naibu waziri wa ujenzi , hivi sasa limechimbika mara tatu zaidi barabara kuu ya Iringa -Mbeya katika eneo hilo la Mlima wa Ihemi na tayari ajali kadhaa zimeanza kutokea aneo hilo. Picha na Francis Godwin
RAIS SAMIA AMPA PROF JAY MILIONI 30
-
Nguli wa muziki wa Hip Hop nchini na mbunge wa zamani wa jimbo la Mikumi,
Joseph Haule maarufu kama Prof Jay, amepokea msaada wa Shilingi milioni 30
kut...
56 minutes ago
No comments:
Post a Comment