Shimo lililosababisha ajali ya mbunge wa Kyela mkoa wa Mbeya Dkt Mwakyembe limeibuka upya na sasa kuwa ni shimo kubwa kuliko awali. Tayari shimo hilo ambalo lilizibwa kwa haraka haraka na wakala wa barabara mkoa wa Iringa (TANROADs) baada ya ajali hiyo ya Dkt Herrison Mwakyembe ambaye kwa sasa ni naibu waziri wa ujenzi , hivi sasa limechimbika mara tatu zaidi barabara kuu ya Iringa -Mbeya katika eneo hilo la Mlima wa Ihemi na tayari ajali kadhaa zimeanza kutokea aneo hilo. Picha na Francis Godwin
UBELGIJI YAICHAPA MAREKANI 4-1 NA KUITUPA NJE KOMBE LA DUNIA
-
TIMU ya Marekani imekamilisha idadi ya timu zote wenyeji wa Fainali za
Kombe la Dunia kutolewa baada ya jana kufungwa mabao 4-1 na Ubelgiji katika
mchezo...
27 minutes ago
No comments:
Post a Comment