Shimo lililosababisha ajali ya mbunge wa Kyela mkoa wa Mbeya Dkt Mwakyembe limeibuka upya na sasa kuwa ni shimo kubwa kuliko awali. Tayari shimo hilo ambalo lilizibwa kwa haraka haraka na wakala wa barabara mkoa wa Iringa (TANROADs) baada ya ajali hiyo ya Dkt Herrison Mwakyembe ambaye kwa sasa ni naibu waziri wa ujenzi , hivi sasa limechimbika mara tatu zaidi barabara kuu ya Iringa -Mbeya katika eneo hilo la Mlima wa Ihemi na tayari ajali kadhaa zimeanza kutokea aneo hilo. Picha na Francis Godwin
WALIMU NA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MASHUJAA WATEMBELEA MAKTABA YA MKOA
RUVUMA
-
TIMU ya walimu watatu kutoka Shule ya Msingi Mashujaa ilitembelea Maktaba
ya Mkoa Ruvuma kwa lengo la kujifunza na kupata uelewa wa kina kuhusu
huduma m...
9 minutes ago
No comments:
Post a Comment