Mkandarasi wa Ujenzi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), John Malisa (kulia) akikagua maendeleo ya Ujenzi na ukarabati wa Zahanati ya Kivule iliyolipuliwa na Bomu, wakati walipotembelea juzi katika Jengo la wazazi hospitalini hapo. Ukarabati huo umefadhiliwa na TBL, baada ya kuharibiwa na bomu lililotokea Kambi ya Jeshi ya Gongo la Mboto, Dar es Salaam, mwezi uliopita. TBL imetoa sh. mil 30 za kukarabati jengo hilo na kununua vifaa vilivyoharibiwa.
TCAA Yatumia Wiki ya Utumishi wa Umma Kuelimisha Wananchi
-
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imeungana na Taasisi mbalimbali
za umma kushiriki katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma
yanayofany...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment