Mkandarasi wa Ujenzi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), John Malisa (kulia) akikagua maendeleo ya Ujenzi na ukarabati wa Zahanati ya Kivule iliyolipuliwa na Bomu, wakati walipotembelea juzi katika Jengo la wazazi hospitalini hapo. Ukarabati huo umefadhiliwa na TBL, baada ya kuharibiwa na bomu lililotokea Kambi ya Jeshi ya Gongo la Mboto, Dar es Salaam, mwezi uliopita. TBL imetoa sh. mil 30 za kukarabati jengo hilo na kununua vifaa vilivyoharibiwa.
Harvard Yawakutanisha Mawaziri wa Nchi Zinazoendelea Kujifunza Uongozi
-
RAIS Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho, yuko Boston, Marekani ambapo anashiriki
kutoa mafunzo kwa Mawaziri wakiwemo wa Fedha na wa Mipango kutoka nchi
mbalimba...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment