Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Utalii na Mahoteli Tanzania (TOPHAT), Ali Sumaye, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, wakati wa utambulisho wa chama hicho kinachotarajia kuzinduliwa hivi karibuni. Katikati ni Mkuu wa Idara ya Utalii wa Chama hicho, Peter Mwenguo na Michael Mukunza kutoka Executive Solutions, ambayo inaratibu udhamini wa uzinduzi huo.
PIC YATEMBELEA MAABARA ZA TBS, YAFURAHISHWA UTENDAJI KAZI WAKE
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) imeipongeza
TBS kwa kazi nzuri yenye weledi hususani katika ...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment