Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Utalii na Mahoteli Tanzania (TOPHAT), Ali Sumaye, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, wakati wa utambulisho wa chama hicho kinachotarajia kuzinduliwa hivi karibuni. Katikati ni Mkuu wa Idara ya Utalii wa Chama hicho, Peter Mwenguo na Michael Mukunza kutoka Executive Solutions, ambayo inaratibu udhamini wa uzinduzi huo.
Benki ya CRDB Yashinda Tuzo ya Dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji Katika
Jamii Kupitia CRDB Bank Marathon
-
Benki ya CRDB imeshinda tuzo ya dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji katika
Jamii (International CSR Awards 2025) kupitia mbio zake za kimataifa ya
CRDB BANK...
9 minutes ago
No comments:
Post a Comment