Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Utalii na Mahoteli Tanzania (TOPHAT), Ali Sumaye, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, wakati wa utambulisho wa chama hicho kinachotarajia kuzinduliwa hivi karibuni. Katikati ni Mkuu wa Idara ya Utalii wa Chama hicho, Peter Mwenguo na Michael Mukunza kutoka Executive Solutions, ambayo inaratibu udhamini wa uzinduzi huo.
TADB YASHIRIKI UZINDUZI WA WIKI YA CHAKULA DUNIANI KITAIFA MKOANI TANGA
-
Wiki ya Maadhimisho ya Chakula Duniani Kitaifa imefunguliwa rasmi leo
tarehe 11 Oktoba 2025 na Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mhe. Balozi Batilda
Buriani, katika v...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment