Habari za Punde

*WAFANYAKAZI WA UTALII KUZINDUA TOPHAT MWEZI HUU


Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Utalii na Mahoteli Tanzania (TOPHAT), Ali Sumaye, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, wakati wa utambulisho wa chama hicho kinachotarajia kuzinduliwa hivi karibuni. Katikati ni Mkuu wa Idara ya Utalii wa Chama hicho, Peter Mwenguo na Michael Mukunza kutoka Executive Solutions, ambayo inaratibu udhamini wa uzinduzi huo.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.