Mshambuliaji na mfungaji pekee wa magoli mawili ya Yanga, Jerry Tegete (kushoto) akimiliki mpira mbele ya beki wa Azam Fc, Elasto Nyoni, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam leo jioni. Yanga imeshinda 2-1. Wachezaji wa Azam na Yanga, wakileteana songombingo, baada ya Fredy Mbuna wa Yanga kuchezewa vibaya na kuanguka karibu kabisa na mstari, jambo lililomfanya daktari wa Yanga kuanza kumtibia mahala hapo alipo, jambo ambalo wachezaji wa Azam walikuwa wakilipinga wakitaka atolewe nje ili kuokoa muda. Kocha wa Yanga, Sam Timbe (kushoto) akisalimiana na Kocha wa Azam Fc, Stewart, ikiwa ni sehemu ya Fair Play baada ya kumalizika kwa mchezo huo.
MAFOTO PRODUCTION & ENTERTAINMENT KWA MAHITAJI YAKO YA STILL PICTURE, VIDEO SHOOTING, MUSIC & Mc's KATIKA SHEREHE YA AINA YEYOTE. VIDEO EDDITING, COVER DISGNING, PPS ZA DK 3, POSTERS ZA AINA MBALIMBALI COVER CD PRINTING, BURNING CD N.K. WASILIANA NASI KWA NO, 0787 200005/0754, 0655-306109/0714 656660 BARUA PEPE:- muhidinuk@yahoo.co.uk,sufianimafotoblog@gmail.com AMA TEMBELEA www.sufianimafoto.com
UMUHIMU WA MALEZI BORA KWA WATOTO
-
Sajenti Emmanuel Kisiri ambae ni polisi kata wa kata ya Ikoma Wilaya ya
Serengeti Mkoani Mara ameendelea kuihimiza jamii kulinda maadili ya watoto
Akiendel...
TBS YATAMBULIWA KWA KUSAIDIA WATU WENYE ULEMAVU
-
EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limepokea tuzo kutoka Taasisi ya
Foundation for Disabilities Hope, kutokana na desturi waliy...
Tuzo : NCAA Yajivunia Tuzo ya Kimataifa
-
Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) Bw.
Abdul-Razaq Badru kupitia mkutano na Waandishi wa Habari uliofanyika jijini
Ar...
BONANZA LA NMB KIJIJI DAY YAFANA NGORONGORO
-
Na Mwandishi Wetu.Ngorongoro,Arusha.
Benki ya NMB kupitia kampeni yake ya NMB Kijiji Day imefanya shughuli
mbalimbali za kijamii katika tarafa ya Lolion...
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
-
[image: Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio]
Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio
alt=”” class=”w...
DIAMOND PLATINUMZ HOUSE 'STATE HOUSE'
-
Bila shaka muziki unalipa na ndio maana mwanamuziki wa Bongo Fleva, kutoka
Tanzania Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz, ameweza kujenga nyumba jambo
ambal...
No comments:
Post a Comment