Mshambuliaji na mfungaji pekee wa magoli mawili ya Yanga, Jerry Tegete (kushoto) akimiliki mpira mbele ya beki wa Azam Fc, Elasto Nyoni, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam leo jioni. Yanga imeshinda 2-1. Wachezaji wa Azam na Yanga, wakileteana songombingo, baada ya Fredy Mbuna wa Yanga kuchezewa vibaya na kuanguka karibu kabisa na mstari, jambo lililomfanya daktari wa Yanga kuanza kumtibia mahala hapo alipo, jambo ambalo wachezaji wa Azam walikuwa wakilipinga wakitaka atolewe nje ili kuokoa muda. Kocha wa Yanga, Sam Timbe (kushoto) akisalimiana na Kocha wa Azam Fc, Stewart, ikiwa ni sehemu ya Fair Play baada ya kumalizika kwa mchezo huo.
TAEC YAJIPAMBAMBANUA MAFANIKIO YA AWAMU YA SITA KWA UKUSANYAJI WA MADUHULI
YA SERIKALI.
-
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) Profesa Lazaro
Busagala akizungumza na waandishi na Wahariri kwenye Mkutano unaoratibiwa
na Of...
14 minutes ago
No comments:
Post a Comment