Mwenyekiti wa Kampuni ya Future Century Ltd, Helen Masanja, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo mchana kuhusu mafanikio ya kampuni hiyo iliyofanya hafla ya uchangishaji fedha kwa ajili ya kuendeleza timu ya Soka ya Taifa ya Zanzibar (Zanzibar Heroes) iliyofanyika Zanzibar hivi karibuni, wakati wa mkutano huo uliofanyika jijini Dar es Salaam . Kulia kwake ni Mjumbe za ZFA, Thabit Abdallah na Meneja wa Mradi huo, Martha Enock na (kulia) ni Mkurugenzi wa Masoko wa Teknolojia ya Mawasiliano Zanzibar, Said Said.
TANROADS YAANZA UTEKELEZAJI MAAGIZO YA WAZIRI BASHUNGWA//YATANGAZA ZABUNI
UJENZI MADARAJA YA CHAKWALE NA NGUYAMI
-
Wakala ya barabara Tanzania (TANROADS) umeanza kutekeleza maagizo ya Waziri
wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa aliyoyatoa Februari 22, 2024 wakati wa
ziara ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment