Habari za Punde

*FUTURE CENTURY LTD YAFANIKISHA SEHEMU YA KUIPIGA TAFU ZANZIBAR HEROES

Mwenyekiti wa Kampuni ya Future Century Ltd, Helen Masanja, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo mchana kuhusu mafanikio ya kampuni hiyo iliyofanya hafla ya uchangishaji fedha kwa ajili ya kuendeleza timu ya Soka ya Taifa ya Zanzibar (Zanzibar Heroes) iliyofanyika Zanzibar hivi karibuni, wakati wa mkutano huo uliofanyika jijini Dar es Salaam . Kulia kwake ni Mjumbe za ZFA, Thabit Abdallah na Meneja wa Mradi huo, Martha Enock na (kulia) ni Mkurugenzi wa Masoko wa Teknolojia ya Mawasiliano Zanzibar, Said Said.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.