Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera , Uratibu na Bunge) William Lukuvi akizungumza na wafanyakazi wakati akifungua kikao cha tisa cha Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Waziri Mkuu kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Dodoma jana.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Waziri Mkuu wakifuatilia hotuba ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera , Uratibu na Bunge) William Lukuvi (Mb) (hayupo pichani) wakati wa kikao cha tisa cha Baraza hilo kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Dodoma jana.
MAFOTO PRODUCTION & ENTERTAINMENT KWA MAHITAJI YAKO YA STILL PICTURE, VIDEO SHOOTING, MUSIC & Mc's KATIKA SHEREHE YA AINA YEYOTE. VIDEO EDDITING, COVER DISGNING, PPS ZA DK 3, POSTERS ZA AINA MBALIMBALI COVER CD PRINTING, BURNING CD N.K. WASILIANA NASI KWA NO, 0787 200005/0754, 0655-306109/0714 656660 BARUA PEPE:- muhidinuk@yahoo.co.uk,sufianimafotoblog@gmail.com AMA TEMBELEA www.sufianimafoto.com
CECAFA KUZIPIMA TIMU ZA CHAN 2024
-
Na Mwandishi Wetu
BARAZA la Vyama vya Soka Ukanda wa Afrika Mashariki na (CECAFA) limeandaa
mashindano maalum kwa ajili ya timu zinazoshiriki fainali...
‘NINJA’ HIMID MAO MKAMI NAYE AREJEA AZAM FC
-
KLABU ya Azam FC imemtambulisha kiungo Himid Mao Mkami (32) kuwa mchezaji
wake mpya kwa mkataba wa mwaka mmoja hadi mwaka 2026 akitokea Ghazl El
Mahallay...
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
-
[image: Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio]
Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio
alt=”” class=”w...
DIAMOND PLATINUMZ HOUSE 'STATE HOUSE'
-
Bila shaka muziki unalipa na ndio maana mwanamuziki wa Bongo Fleva, kutoka
Tanzania Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz, ameweza kujenga nyumba jambo
ambal...
No comments:
Post a Comment