Ofisa wa Mradi wa Save the Children Zanzibar, Amina Kheir (kulia) akifafanua jambo wakati wa mafunzo ya siku tatu yanayowajumuisha maofisa upelelezi wa Jeshi la Polisi Unguja na Pemba, yanayofanyika katika Hoteli ya Beach Resort mjini Zanzibar. Kushoto ni Mkufunzi kutoka Idara ya Sheria ya Marekani, Gigi M.Scoles.Picha na Martin Kabemba.
COASTAL UNION YAAMBULIA SARE KWA TRA UNITED
-
WENYEJI, Coastal Union wamelazimishwa sars ya kufungana bao 1-1 na TRA
United ya Tabora katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu
Uwanja w...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment