Ofisa wa Mradi wa Save the Children Zanzibar, Amina Kheir (kulia) akifafanua jambo wakati wa mafunzo ya siku tatu yanayowajumuisha maofisa upelelezi wa Jeshi la Polisi Unguja na Pemba, yanayofanyika katika Hoteli ya Beach Resort mjini Zanzibar. Kushoto ni Mkufunzi kutoka Idara ya Sheria ya Marekani, Gigi M.Scoles.Picha na Martin Kabemba.
TCCA YAMPONGEZA DKT. NASRA KUSAIDIA SEKTA YA ANGA
-
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania TCAA kupititiakwa mkurugenzi wake
Ramadhani Msangi imempongeza Mkurugenzi wa kituo cha afya cha Aerospace
Medical and...
12 hours ago
No comments:
Post a Comment