Ofisa Mkuu wa biashara wa Benki ya NMB, Kees Verbeek na Ofisa Mtenadaji Mkuu wa African life Assurance, Julius Magabe (kulia) wakizindua rasmi huduma mpya ya ‘NMB FARAJA’ yenye lengo la kuwanufaisha wateja wa nmb wenye akaunti binafsi pale wanapopatwa na matatizo ya msiba. Uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar es Salaam leo. (wapili kushoto) ni Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliani wa NMB, Imani Kajula.
Afrika yatakiwa kuongeza wanahabari mahiri wa sayansi kuchochea ubunifu na
maendeleo
-
*Na Veronica Mrema, Pretoria*
*Waziri wa Sayansi, Teknolojia na Ubunifu wa Afrika Kusini, Profesa Blade
Nzimande, amesema Bara la Afrika linahitaji kwa...
15 minutes ago
No comments:
Post a Comment