Ofisa Mkuu wa biashara wa Benki ya NMB, Kees Verbeek na Ofisa Mtenadaji Mkuu wa African life Assurance, Julius Magabe (kulia) wakizindua rasmi huduma mpya ya ‘NMB FARAJA’ yenye lengo la kuwanufaisha wateja wa nmb wenye akaunti binafsi pale wanapopatwa na matatizo ya msiba. Uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar es Salaam leo. (wapili kushoto) ni Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliani wa NMB, Imani Kajula.
COASTAL UNION YAAMBULIA SARE KWA TRA UNITED
-
WENYEJI, Coastal Union wamelazimishwa sars ya kufungana bao 1-1 na TRA
United ya Tabora katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu
Uwanja w...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment