Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (wapili kuli) Mbunge wa Mkuranga, Adam Malima, (kushoto) Kaimu Mwakiklishi Mkazi wa AMREF, Dkt. Florence Temu, Mkurugenzi wa Mahusiano wa Taasisi ya EABL Foundation, Brenda Mbathi, na Mkurugenzi wa Serengeti Breweries, Richard Wells (kulia) wakikata utepe kuzindua kisima cha maji cha Hospitali ya Mkuranga mkoani Pwani jana kilichochimbwa na taasisi hiyo kwa gharama ya sh. milioni 384.6. Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete akizungumza na Mkurugenzi wa Kampuniya Bia ya Serengeti (SBL), Richard Wells, wakati wa uzinduzi wa kisima cha maji cha Hospitali ya Mkuranga, kilichopo mkoani Pwani jana kilichochimbwa na kampuni ya East African Breweries Limited Foundation kwa gharama ya sh.milioni. 384.6.
NAIBU WAZIRI SILLO ALITAKA JESHI LA POLISI KUZINGATIA HAKI NA WELEDI
-
NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Daniel Sillo amelitaka Jeshi
la Polisi kuendelea kutekeleza majukumu yake kwa kuzingatia Haki, weledi na
uad...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment