Habari za Punde

*SBL YAJENGA KISIMA CHA MAJI CHA HOSPITALI YA MKURANGA KWA SH. MILIONI 384.6

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (wapili kuli) Mbunge wa Mkuranga, Adam Malima, (kushoto) Kaimu Mwakiklishi Mkazi wa AMREF, Dkt. Florence Temu, Mkurugenzi wa Mahusiano wa Taasisi ya EABL Foundation, Brenda Mbathi, na Mkurugenzi wa Serengeti Breweries, Richard Wells (kulia) wakikata utepe kuzindua kisima cha maji cha Hospitali ya Mkuranga mkoani Pwani jana kilichochimbwa na taasisi hiyo kwa gharama ya sh. milioni 384.6. Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete akizungumza na Mkurugenzi wa Kampuniya Bia ya Serengeti (SBL), Richard Wells, wakati wa uzinduzi wa kisima cha maji cha Hospitali ya Mkuranga, kilichopo mkoani Pwani jana kilichochimbwa na kampuni ya East African Breweries Limited Foundation kwa gharama ya sh.milioni. 384.6.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.