Mkurugenzi wa Mahusiano na Jamii wa kampuni ya Serengeti, Teddy Mapunda (kulia) akimkabidhi mfano wa hundi ya Sh milioni 80, Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania, Juma Pinto, ikiwa ni sehemu ya udhamini wa Tunzo za Taswa za Mwanamichezo bora wa mwaka, zinazotarajia kufanyika Mei 6 mwaka huu jijini Dar es Salaam. Wapili (kushoto) ni Makamu Mwenyekiti wa Taswa, Maulid Kitenge, Meneja wa Mahusiano na Jamii, Nandi Mwiyombella na Katibu wa Taswa, Amir Mhando.
MRADI WA BUREFOBI WACHOCHEA UTALII IKOLOJIA KATIKA HIFADHI YA MISITU PUGU
KAZIMZUMBWI
-
Na Mwandishi Wetu, Pwani
WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umesema maboresho ya miundombinu
yanayotekelezwa kupitia Mradi wa Kujenga Ustahimili...
11 hours ago
No comments:
Post a Comment