Mkurugenzi wa Mahusiano na Jamii wa kampuni ya Serengeti, Teddy Mapunda (kulia) akimkabidhi mfano wa hundi ya Sh milioni 80, Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania, Juma Pinto, ikiwa ni sehemu ya udhamini wa Tunzo za Taswa za Mwanamichezo bora wa mwaka, zinazotarajia kufanyika Mei 6 mwaka huu jijini Dar es Salaam. Wapili (kushoto) ni Makamu Mwenyekiti wa Taswa, Maulid Kitenge, Meneja wa Mahusiano na Jamii, Nandi Mwiyombella na Katibu wa Taswa, Amir Mhando.
Absa Group CEO Visits Tanzania to Deepen Customer-Centric Growth Strategy
-
Absa Group’s Chief Executive Officer, Kenny Fihla, visited Tanzania this
week as part of a broader East African engagement tour aimed at reinforcing
the...
2 minutes ago
No comments:
Post a Comment