Mkurugenzi wa Mahusiano na Jamii wa kampuni ya Serengeti, Teddy Mapunda (kulia) akimkabidhi mfano wa hundi ya Sh milioni 80, Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania, Juma Pinto, ikiwa ni sehemu ya udhamini wa Tunzo za Taswa za Mwanamichezo bora wa mwaka, zinazotarajia kufanyika Mei 6 mwaka huu jijini Dar es Salaam. Wapili (kushoto) ni Makamu Mwenyekiti wa Taswa, Maulid Kitenge, Meneja wa Mahusiano na Jamii, Nandi Mwiyombella na Katibu wa Taswa, Amir Mhando.
WAHITIMU TaSUBa WAHIMIZWA KUILINDA AMANI YA TANZANIA
-
Na MWANDISHI WETU, Bagamoyo
WAHITIMU wa Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa), wamehimizwa
kuilinda amani nchini.
Akizungumza katika Mahafali ya...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment