Mkurugenzi wa Mahusiano na Jamii wa kampuni ya Serengeti, Teddy Mapunda (kulia) akimkabidhi mfano wa hundi ya Sh milioni 80, Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania, Juma Pinto, ikiwa ni sehemu ya udhamini wa Tunzo za Taswa za Mwanamichezo bora wa mwaka, zinazotarajia kufanyika Mei 6 mwaka huu jijini Dar es Salaam. Wapili (kushoto) ni Makamu Mwenyekiti wa Taswa, Maulid Kitenge, Meneja wa Mahusiano na Jamii, Nandi Mwiyombella na Katibu wa Taswa, Amir Mhando.
WAZIRI MKUU KUZINDUA MIRADI MIKUBWA YA UTALII
-
WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba
(Mb) anatarajiwa kuzindua Miradi mikubwa ya kuendeleza Utalii Kusini siku ...
2 minutes ago
No comments:
Post a Comment