Ofisa Biashara na Masoko wa kampuni ya Vodacom Tanzania, Upendo Richard (kushoto), Mkurugenzi wa Kitaifa wa Miss Universe, Maria Sarungi, (katikati) na Mrembo anayeshikilia taji la Miss Universe, Hellen Dausen, wakishikana mikono kuashilia uzinduzi rasmi wa shindano la Miss Universe linalotarajia kuanza hivi karibuni. Uzinduzi huo ulifanyika jijini jijini Dar es Salaam jana
Kikwete apokea tafsiri ya Mwalimu Nyerere ya kitabu cha Jamhuri na Plato
-
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amepokea nakala
ya kitabu "Jamhuri na Plato" kutoka kwa Bw. Walter Bgoya, Mkurugenzi wa
Mkuk...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment