Mshambuliaji wa Simba Joshua (kushoto) akiambaa na mpira kumtoka beki Amir Maftah, wakati wa mazoezi yao kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa marudiano na T.P. Mazembe ya Kongo, unaotarajia kuchezwa Jumapili kwenye Uwanja wa taifa Dar es Salaam. Mazoezi hayo yamefanyika leo jioni kwenye Uwanja wa Taifa. Shiboli (katikati) akijiandaa kumtoka Ochan, wakati wa mazoezi hayo, (kushoto) ni Amir Maftah.
BARRICK YADHAMINI KONGAMANO LA AIESEC CHUO CHA UHASIBU ARUSHA
-
Na Mwandishi wetu, Arusha
KAMPUNI ya Barrick nchini, imedhamini na kushiriki katika kongamano la
wanafunzi wa vyuo vikuu lililoandaliwa na taasisi ya kuc...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment