Wachezaji wa timu ya T.P. Mazembe ya Kongo, wakiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jioni hii kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa marudiano na Simba, mchezo unaotarajia kuchezwa siku ya Jumapili kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Baadhi ya wachezaji hao wakiwa katika Gari waliloandaliwa na wenyeji wao baada ya kuwasili. Timu hiyo baada ya kuwasili iligoma kupanda gari lililoandaliwa na Uongozi wa TFF na kudai kuwa tayari walishaandaliwa usafiri na wenyeji wao waliokuwa na Coaster mbili ambapo moja ilibeba wachezaji na moja Viongozi wa timu hiyo na kuliacha basi kubwa lililoletwa uwanjani hapo kwa ajili yao likiondoka tupu.
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 8, 2024
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam May 8,
2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na
za nyuma za Magazet...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment