Mkurugenzi Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo (wapili kushoto), akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadick, moja ya vifaa vinavyotumika kumuhudumia mzazi wakati wa kujifungua wakati wa hafla fupi ya kukabidhi jengo la uzazi la Zahanati ya Kivule, lililokarabatiwa na kampuni hiyo baada ya kulipuliwa na mabomu yaliyolipuka katika Kikosi cha Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) cha Gongo la Mboto cha KJ 511, Dar es Salaam Februali 16, mwaka huu. TBL imetumia sh milioni 30 kukarabati na kununua vifaa vilivyoharibiwa. Kulia ni Mhandisi wa Ujenzi wa TBL, John Malisa (kushoto) ni Doris Malulu ambaye ni Ofisa Uhusiano wa kampuni hiyo.
IAA KUBORESHA MAZINGIRA YA KUJIFUNZIA ILI KUENDELEA KUZALISHA WATAALAM
MAHIRI
-
Na Mwandishi Wetu
MKUU wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), Prof. Eliamani Sedoyeka amesema IAA
itaendelea kuimarisha miundombinu na mazingira ya kujifunz...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment