Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Dar es Salaam, Said Ntimizi, akisisitiza jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo mchana, kuhusu maazimio ya kikao cha Baraza Kuu la Vijana wa chama hicho, yaliyowasilishwa kwa Serikali. Miongoni mwa maazimio hayo ni pamoja na kuwataka watendaji ndani ya Serikali na Mashirika ya Umma, kuonyesha uwezo, uwajibikaji na uadilifu ili Serikali isibezwe na watu wasioitakia mema katika uongozi wake. Kulia ni Katibu Mkuu wa umoja huo, Omar Ng'wang'walu, Kamanda wa Shirikisho la Vyuo vya Elimu ya Juu (CCM), Moses Katabaro (wa tatu kushoto) na Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji wa Umoja huo, Mustafa Hakika.
RAIS SAMIA KUSHIRIKI MKUTANO WA DUNIA WA SERIKALI 2026 NA UZINDUZI WA
GLOBAL AFRICA INVESTMENT SUMMIT
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akiondoka nchini kuelekea Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) leo tarehe 02
Februari, ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment