Mrembo aliyewaacha watu hoi kwa kuvaa vijingua vifupi huku akipita katika mitaa ya Iringa, akizomewa na wavulana waliokuwa katika mtaa huo huku akifuatwa na watu kibao mjini humo jana. Jana na wananchi wa mji wa Iringa wametishia kuchukua hatua kwa wote waliomzomea mdada huyo kwa madai kuwa hawakumtendea haki.
MKAKATI WA KUZIBA UFA WA KITAIFA: KWANINI TUME INAENDELEA KUONGEA NA
WANANCHI?
-
Mwenyekiti wa Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani
wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, Jaji Mkuu Mstaafu Mohamed
Chande ...
11 hours ago
No comments:
Post a Comment