Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Ludovick Utouh (mwenye suti) akizungumza na Kaimu Katibu Mkuu wa chama cha CUF, Julius Itatiro, katika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) leo baada ya CAG Ludovick Utouh, kutoa taarifa ya ufafanuzi kwa vyombo vya habari kuhusu ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) zilizochapishwa hivi karibuni katiak vyombo vya habari.
Ndejembi: tuweke mikakati itakayoongeza kasi ya utafutaji wa mafuta, gesi
asilia
-
Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi ameitaka Mamlaka ya Udhibiti
Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kuja na mikakati thabiti itakayosaidia
kuongeza kas...
50 minutes ago
No comments:
Post a Comment