Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Ludovick Utouh (mwenye suti) akizungumza na Kaimu Katibu Mkuu wa chama cha CUF, Julius Itatiro, katika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) leo baada ya CAG Ludovick Utouh, kutoa taarifa ya ufafanuzi kwa vyombo vya habari kuhusu ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) zilizochapishwa hivi karibuni katiak vyombo vya habari.
MASAUNI AMETOA RAI KWA WABUNGE KUPINGA UPOTOSHAJI KUHUSU MUUNGANO
-
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe.
Mhandisi Hamad Yussuf Masauni akizungumza wakati wa semina kuhusu Muungano
na Mazingir...
10 minutes ago
No comments:
Post a Comment