Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Ludovick Utouh (mwenye suti) akizungumza na Kaimu Katibu Mkuu wa chama cha CUF, Julius Itatiro, katika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) leo baada ya CAG Ludovick Utouh, kutoa taarifa ya ufafanuzi kwa vyombo vya habari kuhusu ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) zilizochapishwa hivi karibuni katiak vyombo vya habari.
HISPANIA YAICHAPA UFARANSA 2-0 NA KUTINGA FAINALI KOMBE LA DUNIA
-
TIMU ya Hispania imefanikiwa kutinga Fainali ya Kombe la Dunia baada ya
ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Ufaransa usiku huu Uwanja wa AT&T Jijini
Arlington...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment