Msanii wa muziki wa kizazi kipya (Bongo fleva), Twenty Percent akishambulia jukwaa wakati wa tamasha la wanamuzi la wasanii walioibuka kidedea katika Tunzo za Kilimanjaro Music Awards 2011 lililofanyika mwishoni mwa wiki kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Jijini Mwanza na kudhamini na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia bia yake ya Kilimanjaro.
SINGIDA BLACK STARS YAMALIZA NA SARE AFRIKA KUSINI
-
TIMU ya Singida Black Stars imetoa sare ya bila mabao na wenyeji,
Stellenbosch katika mchezo wa mwisho wa Kundi C Kombe la Shirikisho Afrika
usiku huu Uwan...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment