Msanii wa muziki wa kizazi kipya (Bongo fleva), Twenty Percent akishambulia jukwaa wakati wa tamasha la wanamuzi la wasanii walioibuka kidedea katika Tunzo za Kilimanjaro Music Awards 2011 lililofanyika mwishoni mwa wiki kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Jijini Mwanza na kudhamini na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia bia yake ya Kilimanjaro.
WANAHABARI WAHIMIZWA KUONGOZA MAPAMBANO YA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA TANZANIA
-
Na Janeth Raphael - MichuziTv
Waandishi wa habari na Maafisa Mawasiliano wa Serikali wametakiwa kutumia
nafasi yao ya kuelimisha na kuhamasisha jamii kuhu...
44 minutes ago
No comments:
Post a Comment