Mke wa Rais, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete akipokea taarifa ya kuutambulisha mradi wa FHI pamoja tuwalee kutoka kwa Priskila Gobba, ambaye ni Mkurugenzi wa mradi huo. WAMA kwa kushirikiana na FHI pamoja tuwalee watafanya kazi kwa pamoja kwa ajili ya kuwakomboa watoto yatima wa Tanzania. Picha na Anna Nkinda-MAELEZO
NMB ‘yafunga ndoa’ na Wanawake Wanaomiliki Shule, Vyuo Tanzania
-
NA MWANDISHI WETU, DAR
BENKI ya NMB imeingia makubaliano rasmi (MoU) na Chama cha Wanawake
Wamiliki wa Shule na Vyuo Tanzania (TAWOSCO), yaliyosainiwa samb...
5 minutes ago
No comments:
Post a Comment