Mwanamuziki mahiri kutoka nchini Marekani, Shaggy, amewasili jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo kwa ajili ya kuanza kukonga nyoyo za mashabiki wa miondoko ya muziki wake, ambapo anatarajia kuanza makamuzi leo hii huko Ngome Kongwe Zanzibar, ambapo atoshambulia jukwaa katika Tamasha la ZIFF na keshokutwa siku ya Jumapili atawapagawisha vilivyo kina Ngosha huko jijini Mwanza kwa kuangusha bonge la Shoo katika Uwanja wa CCM Kirumba ikiwa ni siku maalum ya uzinduzi wa Tamasha la kusherehekea miaka 10 ya Serengeti Fiesta 2011.
MUUNGANO WAZIDI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA KUIBUA VIPAJI VYA MICHEZO
-
Wachezaji wa Timu ya Mpira wa Pete (Netiboli) ya Ofisi ya Makamu wa Rais
Muungano na (Mazingira) wakiwa katika picha ya pamoja muda mfupi baada ya
kuwasil...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment