Bandari ya Mtwara si kama ilivyo Bandari ya Dar es Salaam iliyo na msongamano wa magari na mizigo, Je hakuna uwezekano wa kuhamishia baadhi ya mizigo na magari yakashukia katika Bandari hii?? Haya ni mawazo yangu!
Teknolojia : Serikali Yaombwa Kutazama Upya Ghrama za Usajili na Kodi kwa
Vyombo vya Habari vya Mtandaoni
-
Serikali imeombwa kupunguza gharama za usajili wa vyombo vya habari
mtandaoni (Online Media) ili kutoa fursa kwa vijana wengi zaidi kujiajiri.
Ombi hil...
29 minutes ago
No comments:
Post a Comment