Dereva na abiria katika usafiri huu wa pikipiki ni bora 'kufika' na si usafiri bora ulio salama kutokana na jinsi Pikipiki hii ilivyokuwa ikiyumba tairi katikati ya Barabara na kutoa moshi mwingi, 'inakwenda kama inarudi' Je askari wa usalama Barabarani kama hizi zinawapita wapi? au macho yenu ni kwenye Magari yenye mambo flani tu?
Oryx Energies na Jeshi la Polisi Waanzisha Kampeni ya Elimu ya Usalama
Barabarani
-
Na Mwandishi Wetu
KAMPENI ya kitaifa ya Chuma kwa Chuma Sio yenye ya uhamasishaji wa usalama
barabarani imezinduliwa rasmi leo Julai 19,2025 huku waendesha...
3 minutes ago
No comments:
Post a Comment