Dereva na abiria katika usafiri huu wa pikipiki ni bora 'kufika' na si usafiri bora ulio salama kutokana na jinsi Pikipiki hii ilivyokuwa ikiyumba tairi katikati ya Barabara na kutoa moshi mwingi, 'inakwenda kama inarudi' Je askari wa usalama Barabarani kama hizi zinawapita wapi? au macho yenu ni kwenye Magari yenye mambo flani tu?
Rais Samia akutana na Uongozi wa Mtandao wa Wanawake Viongozi Afrika
(AWLN), Ikulu Jijini Dar es Salaam.
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akisalimiana na Mlezi wa Mtandao wa Wanawake Viongozi Afrika (AWLN) Rais
Mstaaf...
25 minutes ago
No comments:
Post a Comment