Dereva na abiria katika usafiri huu wa pikipiki ni bora 'kufika' na si usafiri bora ulio salama kutokana na jinsi Pikipiki hii ilivyokuwa ikiyumba tairi katikati ya Barabara na kutoa moshi mwingi, 'inakwenda kama inarudi' Je askari wa usalama Barabarani kama hizi zinawapita wapi? au macho yenu ni kwenye Magari yenye mambo flani tu?
Teknolojia : Serikali Yaombwa Kutazama Upya Ghrama za Usajili na Kodi kwa
Vyombo vya Habari vya Mtandaoni
-
Serikali imeombwa kupunguza gharama za usajili wa vyombo vya habari
mtandaoni (Online Media) ili kutoa fursa kwa vijana wengi zaidi kujiajiri.
Ombi hil...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment