Shimo lililo katikati ya Barabara ya Ohio jijini Dar es Salaam ambalo ni hatari kwa watumiaji wa njia hiyo, mashimo kama haya yamekuwa yakiibuka katika njia nyingi kutokana na kuibwa kwa mifuniko ya 'Chemba' za maji, lakini hili wala si tatizo hilo kwani pembeni mfuniko wake unaonekana upo bali hii ni kutokana na kujengwa bila kuzingatia viwango ambapo shimo huanza kama mzaha katikati ya barabara hatimaye huwa kubwa na wakati mwingine kusababisha barabara kushindwa kupitika. Wahusika wapeni kazi hizi wenye makampuni yenye ubora wanaozingatia viwango "Hii ni kodi ya wananchi"
Rais Samia akutana na Uongozi wa Mtandao wa Wanawake Viongozi Afrika
(AWLN), Ikulu Jijini Dar es Salaam.
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akisalimiana na Mlezi wa Mtandao wa Wanawake Viongozi Afrika (AWLN) Rais
Mstaaf...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment