Shimo lililo katikati ya Barabara ya Ohio jijini Dar es Salaam ambalo ni hatari kwa watumiaji wa njia hiyo, mashimo kama haya yamekuwa yakiibuka katika njia nyingi kutokana na kuibwa kwa mifuniko ya 'Chemba' za maji, lakini hili wala si tatizo hilo kwani pembeni mfuniko wake unaonekana upo bali hii ni kutokana na kujengwa bila kuzingatia viwango ambapo shimo huanza kama mzaha katikati ya barabara hatimaye huwa kubwa na wakati mwingine kusababisha barabara kushindwa kupitika. Wahusika wapeni kazi hizi wenye makampuni yenye ubora wanaozingatia viwango "Hii ni kodi ya wananchi"
Teknolojia : Serikali Yaombwa Kutazama Upya Ghrama za Usajili na Kodi kwa
Vyombo vya Habari vya Mtandaoni
-
Serikali imeombwa kupunguza gharama za usajili wa vyombo vya habari
mtandaoni (Online Media) ili kutoa fursa kwa vijana wengi zaidi kujiajiri.
Ombi hil...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment