Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA Mama Salma Kikwete (suti nyekundu) akifurahia zawadi ya zulia yenye sura ya Rais Jakaya Kikwete baada ya kukabidhiwa na Meneja wa banda la Home Shopping Center, Abdallah Shariff, alipotembelea banda hilo na kuangalia bidhaa mbalimbali zinazouzwa na HSC kwenye viwanja vya sabasaba kilwa road jana. Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO.
RAIS SAMIA ATOA BIL 19.6 UJENZI WA MIRADI YA ELIMU (SEQUIP) MKOANI NJOMBE
-
Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan
imetoa shilingi Bilioni 19.6 kwa ajili ya Mradi wa Kuboresha Ubora wa Elimu
ya S...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment