Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA Mama Salma Kikwete (suti nyekundu) akifurahia zawadi ya zulia yenye sura ya Rais Jakaya Kikwete baada ya kukabidhiwa na Meneja wa banda la Home Shopping Center, Abdallah Shariff, alipotembelea banda hilo na kuangalia bidhaa mbalimbali zinazouzwa na HSC kwenye viwanja vya sabasaba kilwa road jana. Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO.
MCHEZAJI WA ZAMANI WA YANGA, GWIJI WA FILAMU TANZANIA AFARIKI DUNIA
-
BEKI wa zamani wa Yanga, Hashim Shaaban Kambi ‘Ramsey’ amefariki dunia leo
muda mfupi baada ya kufikishwa Hospitali ya Mico, Sinza, Dar es Salaam
kufuatia ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment