Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA Mama Salma Kikwete (suti nyekundu) akifurahia zawadi ya zulia yenye sura ya Rais Jakaya Kikwete baada ya kukabidhiwa na Meneja wa banda la Home Shopping Center, Abdallah Shariff, alipotembelea banda hilo na kuangalia bidhaa mbalimbali zinazouzwa na HSC kwenye viwanja vya sabasaba kilwa road jana. Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO.
Nishati : TANESCO Mmefanya Mageuzi Makubwa katika Huduma ya Umeme kwa
Wananchi - Mhe. Ndejembi
-
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amesema kuwa Shirika la Umeme
Tanzania (TANESCO) limeendelea kufanya mageuzi makubwa katika kuboresha
upatikan...
14 hours ago
No comments:
Post a Comment