Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA Mama Salma Kikwete (suti nyekundu) akifurahia zawadi ya zulia yenye sura ya Rais Jakaya Kikwete baada ya kukabidhiwa na Meneja wa banda la Home Shopping Center, Abdallah Shariff, alipotembelea banda hilo na kuangalia bidhaa mbalimbali zinazouzwa na HSC kwenye viwanja vya sabasaba kilwa road jana. Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO.
VIJANA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA UMEME KILA KONA
-
TANZANIA imeingia katika ukurasa mpya wa maendeleo baada ya Wakala wa
Nishati Vijijini (REA) kusaini mikataba ya kihistoria yenye thamani ya
shilingi t...
6 minutes ago
No comments:
Post a Comment