Mhariri wa Gazeti la Rai, ambaye pia ni Naibu Mhariri wa Kampuni ya New Habari (2006) Ltd, Danny Mwakiteleko (Pichani) akiwa amelazwa katika wodi ya wagonjwa mahututi ICU Muhimbili baada ya kuapata ajali juzi usiku wakati akirudi nyumbani kwake maeneo ya Tabata Dar es Salaam na kusababisha majeraha na maumivu katika sehemu ya kichwani.
NANDI KUUNGA MKONO NEMBO YA MADE IN TANZANIA AHAIDI KUITUMIA KWENYE BIDHAA
NA MZIKI WAKE
-
Msanii wa muziki wa kizazi Kipya, Faustina Charles Mfinanga, maarufu kwa
jina la Nandy, ameonyesha dhamira ya dhati ya kuiunga mkono nembo ya 'Made
in Tanz...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment