Mhariri wa Gazeti la Rai, ambaye pia ni Naibu Mhariri wa Kampuni ya New Habari (2006) Ltd, Danny Mwakiteleko (Pichani) akiwa amelazwa katika wodi ya wagonjwa mahututi ICU Muhimbili baada ya kuapata ajali juzi usiku wakati akirudi nyumbani kwake maeneo ya Tabata Dar es Salaam na kusababisha majeraha na maumivu katika sehemu ya kichwani.
'WACHEZAJI WA GHANA' WAISAIDIA UHOLANZI KUICHAPA SWEDEN 5-1 KOMBE LA DUNIA
-
TIMU ya Uholanzi imeibuka na ushindi wa mabao 5-1 dhidi ya Sweden katika
mchezo wa Kundi F Fainali za Kombe la Dunia usiku huu Uwanja wa NRG,
Houston, Te...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment