Mhariri wa Gazeti la Rai, ambaye pia ni Naibu Mhariri wa Kampuni ya New Habari (2006) Ltd, Danny Mwakiteleko (Pichani) akiwa amelazwa katika wodi ya wagonjwa mahututi ICU Muhimbili baada ya kuapata ajali juzi usiku wakati akirudi nyumbani kwake maeneo ya Tabata Dar es Salaam na kusababisha majeraha na maumivu katika sehemu ya kichwani.
Teknolojia : Serikali Yaombwa Kutazama Upya Ghrama za Usajili na Kodi kwa
Vyombo vya Habari vya Mtandaoni
-
Serikali imeombwa kupunguza gharama za usajili wa vyombo vya habari
mtandaoni (Online Media) ili kutoa fursa kwa vijana wengi zaidi kujiajiri.
Ombi hil...
42 minutes ago
No comments:
Post a Comment