Ofisa Udhamini wa Vodacom Tanzania, Ibrahim Kaude,(kulia) akimwangalia mrembo Fatma Pongwe, anayeshiriki katika kinyang'anyiro cha kumskaka Miss Kinondoni 2011, wakati akichora mnyama aina ya Twiga katika shindano la kusaka vipaji lilofanyika jana jioni kwenye kumbi wa Hoteli ya Giraffe.Vodacom Tanzania ndiyo wadhamini wakuu wa shindano la Miss Tanzania.
Nishati : TANESCO Mmefanya Mageuzi Makubwa katika Huduma ya Umeme kwa
Wananchi - Mhe. Ndejembi
-
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amesema kuwa Shirika la Umeme
Tanzania (TANESCO) limeendelea kufanya mageuzi makubwa katika kuboresha
upatikan...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment