Ofisa Udhamini wa Vodacom Tanzania, Ibrahim Kaude,(kulia) akimwangalia mrembo Fatma Pongwe, anayeshiriki katika kinyang'anyiro cha kumskaka Miss Kinondoni 2011, wakati akichora mnyama aina ya Twiga katika shindano la kusaka vipaji lilofanyika jana jioni kwenye kumbi wa Hoteli ya Giraffe.Vodacom Tanzania ndiyo wadhamini wakuu wa shindano la Miss Tanzania.
SERIKALI YAWEZESHA HUDUMA ZA POSTA KIDIJITALI KUPITIA VIFAA VYA TEHAMA
KUTOKA UCSAF
-
▪️ Postamasta Mkuu aahidi kusambaza vifaa hivyo katika mikoa yote ya Posta
nchini
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry Silaa, amese...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment