Washiriki 11 wa Shindano la Vodacom Miss Kanda ya Mashariki wanaotarajia kupanda jukwaani hii leo katika ukumbi wa Hotel ya Oasis wakiwa katika picha ya pamoja wakiwa katika kambi yao ya mazoezi iliyopo Hoteli ya Usambara mjini Morogoro. Kampuni ya MD Digital Company ni moja kati ya wadhamini wa shindano hilo ambapo itamzawadia mrembo atakayeibuka kidedea na kuvishwa taji la Miss Photogenic katika shindano hilo.
WADAU TIBA ASILI,AFYA NA MAZINGIRA WASHAURIWA KUIMARISHA USHIRIKIANO
-
Na Mwandishi Wetu
WADAU wote wa Tiba Asili, Afya na Mazingira nchini Tanzania wameshauriwa
kuimarisha ushirikiano kati ya Serikali, mashirika na jamii k...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment