Washiriki 11 wa Shindano la Vodacom Miss Kanda ya Mashariki wanaotarajia kupanda jukwaani hii leo katika ukumbi wa Hotel ya Oasis wakiwa katika picha ya pamoja wakiwa katika kambi yao ya mazoezi iliyopo Hoteli ya Usambara mjini Morogoro. Kampuni ya MD Digital Company ni moja kati ya wadhamini wa shindano hilo ambapo itamzawadia mrembo atakayeibuka kidedea na kuvishwa taji la Miss Photogenic katika shindano hilo.
'WACHEZAJI WA GHANA' WAISAIDIA UHOLANZI KUICHAPA SWEDEN 5-1 KOMBE LA DUNIA
-
TIMU ya Uholanzi imeibuka na ushindi wa mabao 5-1 dhidi ya Sweden katika
mchezo wa Kundi F Fainali za Kombe la Dunia usiku huu Uwanja wa NRG,
Houston, Te...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment