Washiriki 11 wa Shindano la Vodacom Miss Kanda ya Mashariki wanaotarajia kupanda jukwaani hii leo katika ukumbi wa Hotel ya Oasis wakiwa katika picha ya pamoja wakiwa katika kambi yao ya mazoezi iliyopo Hoteli ya Usambara mjini Morogoro. Kampuni ya MD Digital Company ni moja kati ya wadhamini wa shindano hilo ambapo itamzawadia mrembo atakayeibuka kidedea na kuvishwa taji la Miss Photogenic katika shindano hilo.
NANDI KUUNGA MKONO NEMBO YA MADE IN TANZANIA AHAIDI KUITUMIA KWENYE BIDHAA
NA MZIKI WAKE
-
Msanii wa muziki wa kizazi Kipya, Faustina Charles Mfinanga, maarufu kwa
jina la Nandy, ameonyesha dhamira ya dhati ya kuiunga mkono nembo ya 'Made
in Tanz...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment