Washiriki 11 wa Shindano la Vodacom Miss Kanda ya Mashariki wanaotarajia kupanda jukwaani hii leo katika ukumbi wa Hotel ya Oasis wakiwa katika picha ya pamoja wakiwa katika kambi yao ya mazoezi iliyopo Hoteli ya Usambara mjini Morogoro. Kampuni ya MD Digital Company ni moja kati ya wadhamini wa shindano hilo ambapo itamzawadia mrembo atakayeibuka kidedea na kuvishwa taji la Miss Photogenic katika shindano hilo.
Serikali Yazindua Programu ya InnoIP Tanzania Kulinda na Kuendeleza
Rasilimali za Kiakili
-
SERIKALI imechukua hatua kulinda na kuendeleza rasilimali za kiakili nchini
kutokana na uzinduzi rasmi wa Programu ya InnoIP Tanzania, mkakati mahususi
...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment