Vijana wafanya biashara za mkononi wakipozi kusubiri wateja ambao ni wasafari katika kituo cha Mabasi cha Kibaha Maili moja, huku wakionekana kuchoshwa na heka heka za kukimbia huku na huko kusaka wateja.
Serikali Yasambaza Tani 674,000 za Mbolea kwa Ruzuku, Matumizi Yaongezeka
kwa Asilimia 54
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Wizara ya Kilimo imeendelea kuratibu upatikanaji wa mbolea nchini kwa lengo
la kuwawezesha wakulima kuongeza uzalish...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment