Kondakta wa daladala 'Chai Maharage', akishusha mzigo wa samaki nje ya soko Kuu la mjini Zanzibar leo, pamoja na samaki kupatikana kwa wingi mjini hapa lakini bado bei ya samaki imekuwa juu tofauti za siku za nyuma.
Dkt. Abbasi: Royal Tour Imelipa, Tunakuja na Mikakati Mingine Kabambe
-
Na Mwandishi Wetu, Arusha
Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, leo Aprili
30, 2026, “amewapiga msasa” waongoza watalii zaidi y...
13 hours ago

No comments:
Post a Comment