Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA, Mama Salma Kikwete, akipokea hundi ya Sh. Milioni 5, kutoka kwa Mkurugenzi wa Masoko na Huduma kwa Wateja wa benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa kwa ajili ya kuchangia tamasha la wajasiriamali wanawake (MOWE) litakalofanyika kuanzia Oktoba 30 hadi Novemba 4. Hafla ya makabidhiano hayo ilifanyika jijini Dar es Salaam jana.
DKT. MWIGULU AMKABIDHI NANAUKA HUNDI YA SH. BILIONI 200
-
-Ni utekelezaji wa ahadi za Rais Dkt. Samia ndani ya siku 100 tangu
achaguliwe
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amekabidhi hundi ya shilingi bilioni...
17 minutes ago
No comments:
Post a Comment