Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA, Mama Salma Kikwete, akipokea hundi ya Sh. Milioni 5, kutoka kwa Mkurugenzi wa Masoko na Huduma kwa Wateja wa benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa kwa ajili ya kuchangia tamasha la wajasiriamali wanawake (MOWE) litakalofanyika kuanzia Oktoba 30 hadi Novemba 4. Hafla ya makabidhiano hayo ilifanyika jijini Dar es Salaam jana.
SERIKALI YATOA FEDHA KUJENGA SHULE MPYA YA SEKONDARI KATA YA MSANJA,
KILINDI.
-
Wananchi wa Jimbo la Kilindi wamepokea kwa furaha taarifa ya Serikali kutoa
fedha kwa ajili ya ujenzi wa shule mpya ya sekondari katika Kata ya Msanja,
K...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment