"HADI KIELEWEKE JAMANI AU VIPI" Mwenyekiti wa wafanyakazi wa kiwanda cha kuyeyusha chuma chakavu (scrapers) Iron Steel, Raina Mwanyamba, akizungumza wakati wa mkutano wa kujadili kufukuzwa kazi kwa kudai nyongeza ya mshaara ambapo wafanyakazi 207 wamefukuzwa bila kufuatwa kwa taratibu za kazi.
Mwenyekiti wa CCM na Rais Dkt.Samia Suluhu Hassani aongoza kikao cha
Halmashuri Kuu ya CCM Taifa
-
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassani akiongoza kikao cha Halmashuri Kuu ya CCM
Taifa...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment