"HADI KIELEWEKE JAMANI AU VIPI" Mwenyekiti wa wafanyakazi wa kiwanda cha kuyeyusha chuma chakavu (scrapers) Iron Steel, Raina Mwanyamba, akizungumza wakati wa mkutano wa kujadili kufukuzwa kazi kwa kudai nyongeza ya mshaara ambapo wafanyakazi 207 wamefukuzwa bila kufuatwa kwa taratibu za kazi.
MKUU WA MKOA WA KUSINI UNGUJA AIPONGEZA TNCC KWA HUDUMA YA CERTIFICATE
ORIGIN
-
*Na Mwandishi Wetu, Zanzibar.*
*Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Mhe. Hamida Mussa Khamis Shuduma, amesema
ameridhishwa na huduma mbalimbali zinazotolewa na ...
46 minutes ago




No comments:
Post a Comment