"HADI KIELEWEKE JAMANI AU VIPI" Mwenyekiti wa wafanyakazi wa kiwanda cha kuyeyusha chuma chakavu (scrapers) Iron Steel, Raina Mwanyamba, akizungumza wakati wa mkutano wa kujadili kufukuzwa kazi kwa kudai nyongeza ya mshaara ambapo wafanyakazi 207 wamefukuzwa bila kufuatwa kwa taratibu za kazi.
Lissu Ashindwa Kufikishwa Mahakamani Kwa Sababu za Kiusalama
-
MAHAKAMA Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imeahirisha kesi ya uhaini
inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),
Tundu Lis...
13 minutes ago




No comments:
Post a Comment