Mabondia Japhert Kaseba (kushoto) na Maneno Osward, wakitunishiana misuri walipokutana, Dar es salaam leo kukumbushwa sheria mbalimbali za mchezo huo zitakazotumika katika mpambano wao utakaofanyika jumamosi wiki hii. Katikati ni Katibu, wa Chama cha mchezo wa ngumi kinachosimamia mpambano huo. PST. Anton Lutta.
Rais Samia amwomba Drogba kuwa Balozi wa Tanzania AFCON 2027
-
RAIS Samia Suluhu Hassan amemuomba mshambuliaji wa zamani wa timu ya taifa
ya mpira wa miguu ya Ivory Coast na Chelsea ya England, Didier Drogba kuwa
Bal...
14 hours ago

No comments:
Post a Comment