Mabondia Japhert Kaseba (kushoto) na Maneno Osward, wakitunishiana misuri walipokutana, Dar es salaam leo kukumbushwa sheria mbalimbali za mchezo huo zitakazotumika katika mpambano wao utakaofanyika jumamosi wiki hii. Katikati ni Katibu, wa Chama cha mchezo wa ngumi kinachosimamia mpambano huo. PST. Anton Lutta.
KITUO CHA UMAHILI MLOGANZILA KUIMARISHA HUDUMA ZA MOYO, KINYWA NA MENO
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
UJENZI wa kitengo cha kutoa huduma za kinywa na meno katika Chuo Kikuu cha
Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) Kamp...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment