Mabondia Japhert Kaseba (kushoto) na Maneno Osward, wakitunishiana misuri walipokutana, Dar es salaam leo kukumbushwa sheria mbalimbali za mchezo huo zitakazotumika katika mpambano wao utakaofanyika jumamosi wiki hii. Katikati ni Katibu, wa Chama cha mchezo wa ngumi kinachosimamia mpambano huo. PST. Anton Lutta.
Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Canada awasili nchini kwa ziara ya
Kikazi
-
Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Canada Mhe. Randeep Sarai amewasili
nchini kwa ziara ya kikazi ya siku Tatu.
Mhe. Sarai anatarajiwa kutembelea miradi m...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment