Mabondia Japhert Kaseba (kushoto) na Maneno Osward, wakitunishiana misuri walipokutana, Dar es salaam leo kukumbushwa sheria mbalimbali za mchezo huo zitakazotumika katika mpambano wao utakaofanyika jumamosi wiki hii. Katikati ni Katibu, wa Chama cha mchezo wa ngumi kinachosimamia mpambano huo. PST. Anton Lutta.
JUMUIYA YA WAZAZI CCM MKOA WA DAR ES SALAAM YAADHIMISHA MIAKA 49 YA CCM KWA
KAZI ZA KIJAMII TEMEKE
-
Dar es Salaam 02 Februari, 2026
Jumuiya ya Wazazi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam leo
tarehe 02 Februari, 2026, imeungana na wanaCCM n...
56 minutes ago

No comments:
Post a Comment