Makamu wa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi zawadi ya picha yenye Taswara ya mjini wa Zanzibar, Waziri wa Maendeleo na Ushirikiano wa Kimataifa wa Sweden, Gunilla Carlsson, wakati Makamu alipofika Ofisini kwa waziri huyo jijini Stockholm Sweden kwa mazungumzo juzi.
DC CHIRUKILE AZINDUA MAFUNZO YA MAAFA SUMBAWANGA ASISITIZA UTAYARI MAPEMA
-
Na Mwandishi wetu- RUKWA
Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga na Mwenyekiti wa Kamati ya Usimamizi wa Maafa
ya Wilaya, Mhe. Nyakia Ally Chirukile, amezindua ras...
35 minutes ago
No comments:
Post a Comment