Makamu wa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi zawadi ya picha yenye Taswara ya mjini wa Zanzibar, Waziri wa Maendeleo na Ushirikiano wa Kimataifa wa Sweden, Gunilla Carlsson, wakati Makamu alipofika Ofisini kwa waziri huyo jijini Stockholm Sweden kwa mazungumzo juzi.
USHIRIKIANO WA ADEM NA PROJECT ZAWADI KUINUA UONGOZI NA USIMAMIZI WA ELIMU
MKOANI MARA
-
Katika jitihada za kuboresha sekta ya elimu nchini Tanzania, ADEM na
Taasisi ya Project Zawadi wameingia makubaliano ya ushirikiano
utakaowezesha kuendesha...
11 minutes ago

No comments:
Post a Comment