Makamu wa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi zawadi ya picha yenye Taswara ya mjini wa Zanzibar, Waziri wa Maendeleo na Ushirikiano wa Kimataifa wa Sweden, Gunilla Carlsson, wakati Makamu alipofika Ofisini kwa waziri huyo jijini Stockholm Sweden kwa mazungumzo juzi.
AMANI NA UADILIFU: NGUZO MUHIMU KATIKA KULINDA RASILIMALI ZA TAIFA NA
KIZAZI KIJACHO
-
Katika kuelekea mwishoni mwa mwaka 2025, mjadala mpana umeibuka nchini
Tanzania kuhusu uhusiano uliopo kati ya amani ya nchi na usimamizi wa
rasilimal...
17 minutes ago

No comments:
Post a Comment