Mwenyekiti wa timu ya soka ya waandishi wa habari za michezo nchini, Taswa FC, Majuto Omary, akimkabidhi jezi Mwenyekiti, wa timu ya Wizara ya Mambo ya Ndani, Staford Busumbiro kwa niaba ya timu inayokuja kwa kasi, Magomeni City kwa ajili ya kutumika katika michezo ya Shimiwi iliyopangwa kufanyika mkoani Tanga mwezi Novemba. Jezi hizo zilitolewa na Mmiliki wa timu ya Magomeni City, Idd Mhina.
SAMUEL ETO’O AWASILI TANZANIA KUSHIRIKI MKUTANO WA KAMATI YA UTENDAJI YA CAF
-
Mwanasoka nguli wa zamani ambaye pia ni Rais wa Shirikisho la Mpira wa
Miguu Cameroon, Samuel Eto’o, amewasili nchini leo, Februari 12, 2026,
katika Uw...
30 minutes ago
No comments:
Post a Comment