Mwenyekiti wa timu ya soka ya waandishi wa habari za michezo nchini, Taswa FC, Majuto Omary, akimkabidhi jezi Mwenyekiti, wa timu ya Wizara ya Mambo ya Ndani, Staford Busumbiro kwa niaba ya timu inayokuja kwa kasi, Magomeni City kwa ajili ya kutumika katika michezo ya Shimiwi iliyopangwa kufanyika mkoani Tanga mwezi Novemba. Jezi hizo zilitolewa na Mmiliki wa timu ya Magomeni City, Idd Mhina.
WATU WANNE MBARONI KWA MAUAJI YA MWANAFUNZI WA IFM
-
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata watuhumiwa wanne
wanaohusishwa na tukio la mauaji ya James Rogers Temba, aliyekuwa
mwanafun...
12 minutes ago
No comments:
Post a Comment