Mwenyekiti wa timu ya soka ya waandishi wa habari za michezo nchini, Taswa FC, Majuto Omary, akimkabidhi jezi Mwenyekiti, wa timu ya Wizara ya Mambo ya Ndani, Staford Busumbiro kwa niaba ya timu inayokuja kwa kasi, Magomeni City kwa ajili ya kutumika katika michezo ya Shimiwi iliyopangwa kufanyika mkoani Tanga mwezi Novemba. Jezi hizo zilitolewa na Mmiliki wa timu ya Magomeni City, Idd Mhina.
NSIMBO WACHANGAMKIA MAJIKO YA RUZUKU
-
-Washukuru kufikishiwa majiko banifu kwa bei ya ruzuku
Wananchi wa Kijiji cha Mtakuja Kata ya Kapalala katika Halmashauri ya
Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment