Meneja wa kampuni ya Nokia wa nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika, Keneth Oyolla akizindua aina mbili za simu za mkononi aina ya Nokia zinazotumia laini mbili maarufu kama ‘Nokia Dabo Dabo’ jijini Dar es Salaam jana.
Rais Samia Akutana na Mkurugenzi wa Miradi Benki ya Dunia Afrika
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa
kwenye mazungumzo na aliyekuwa Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia
anayesimamia...
14 hours ago
No comments:
Post a Comment