Vibao vya alama za barabarani vilivyowekwa katika baadhi ya barabara za katikati mitaa ya Posta, vingi vimekwishajizindua kabla ya kuzinduliwa rasmi kama moja kati ya vibao hivyo kinavyoonekana kikiwa tayari kimeshafunuka gazeti lililokuwa limekifunika na kuleta utata kwa baadhi ya madereva wanaokuwa wakijishangaa pindi wanapotaka kutumia njia iliyo na vibao hivyo.
HISPANIA YAICHAPA UFARANSA 2-0 NA KUTINGA FAINALI KOMBE LA DUNIA
-
TIMU ya Hispania imefanikiwa kutinga Fainali ya Kombe la Dunia baada ya
ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Ufaransa usiku huu Uwanja wa AT&T Jijini
Arlington...
8 hours ago

No comments:
Post a Comment