Vibao vya alama za barabarani vilivyowekwa katika baadhi ya barabara za katikati mitaa ya Posta, vingi vimekwishajizindua kabla ya kuzinduliwa rasmi kama moja kati ya vibao hivyo kinavyoonekana kikiwa tayari kimeshafunuka gazeti lililokuwa limekifunika na kuleta utata kwa baadhi ya madereva wanaokuwa wakijishangaa pindi wanapotaka kutumia njia iliyo na vibao hivyo.
WAZIRI SANGU ATETA NA VIONGOZI WA MAKANISA YA KIPENTEKOSTE (CPCT)
-
Na: OWM – KAM, Dar es Salaam
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mheshimiwa
Deus Clement Sangu(Mb.), amekutana na kufanya mazu...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment