Vibao vya alama za barabarani vilivyowekwa katika baadhi ya barabara za katikati mitaa ya Posta, vingi vimekwishajizindua kabla ya kuzinduliwa rasmi kama moja kati ya vibao hivyo kinavyoonekana kikiwa tayari kimeshafunuka gazeti lililokuwa limekifunika na kuleta utata kwa baadhi ya madereva wanaokuwa wakijishangaa pindi wanapotaka kutumia njia iliyo na vibao hivyo.
Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan
apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM...
11 hours ago

No comments:
Post a Comment