Vibao vya alama za barabarani vilivyowekwa katika baadhi ya barabara za katikati mitaa ya Posta, vingi vimekwishajizindua kabla ya kuzinduliwa rasmi kama moja kati ya vibao hivyo kinavyoonekana kikiwa tayari kimeshafunuka gazeti lililokuwa limekifunika na kuleta utata kwa baadhi ya madereva wanaokuwa wakijishangaa pindi wanapotaka kutumia njia iliyo na vibao hivyo.
MAMA NA BABA LISHE: SERIKALI YAJIPANGA UPYA KUBORESHA BIASHARA NA HUDUMA ZA
ULEZI NCHINI
-
Na Janeth Raphael-MichuziTv
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan,
amesisitiza dhamira ya serikali kuendelea kuimarisha mazing...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment