Vibao vya alama za barabarani vilivyowekwa katika baadhi ya barabara za katikati mitaa ya Posta, vingi vimekwishajizindua kabla ya kuzinduliwa rasmi kama moja kati ya vibao hivyo kinavyoonekana kikiwa tayari kimeshafunuka gazeti lililokuwa limekifunika na kuleta utata kwa baadhi ya madereva wanaokuwa wakijishangaa pindi wanapotaka kutumia njia iliyo na vibao hivyo.
WADAU WA BIASHARA SHINYANGA WAPONGEZA JITIHADA ZA BARAZA LA USHINDANI
-
*Mwakilishi wa Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga Bw. David
Lyamongi,akizungumza wakati wa semina ya kuwajengea uelewa kuhusu masuala
ya ushindani wa ...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment