Mkurugenzi wa Kamati ya Vodacom Miss Tanzania, Hashim Lundenga, akiwaonyesha na kuwalingishia funguo ya gari aina ya Jeep, warembo washiriki wa shindano hillo la kumsaka Vodacom Miss Tanzania 2011, baada ya kukabidhiwa gari hilo na wadhamini wakuu wa shindano hilo Vodacom, ambalo ndilo litakuwa zawadi ya mshindi wa kwanza wa yaani VODACOM MISS TANZANIA 2011. Hafla hiyo ya makabidhiano imefanyika leo jijini Dar es Salaam.
KAMATI YA BUNGE UWEKEZAJI MITAJI YA UMMA YARIDHISWA NA MRADI WA MAKAZI WA
CANADIAN MASAKI
-
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma
(PIC), Masanja Kadogosa, leo Machi 24, 2026 ameongoza ziara ya ukaguzi wa
mradi...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment