Mkurugenzi wa Kamati ya Vodacom Miss Tanzania, Hashim Lundenga, akiwaonyesha na kuwalingishia funguo ya gari aina ya Jeep, warembo washiriki wa shindano hillo la kumsaka Vodacom Miss Tanzania 2011, baada ya kukabidhiwa gari hilo na wadhamini wakuu wa shindano hilo Vodacom, ambalo ndilo litakuwa zawadi ya mshindi wa kwanza wa yaani VODACOM MISS TANZANIA 2011. Hafla hiyo ya makabidhiano imefanyika leo jijini Dar es Salaam.
JUWATA, UTPC WAKUBALIANA KUIMARISHA USHIRIKIANO KULINDA UHURU WA VYOMBO VYA
HABARI NCHINI
-
JUKWAA Huru la Wahariri Tanzania (JUWATA) na Umoja wa Klabu za Waandishi wa
Habari Tanzania (UTPC) wamekubaliana kuimarisha ushirikiano katika kulinda
uh...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment