Mkurugenzi wa Kamati ya Vodacom Miss Tanzania, Hashim Lundenga, akiwaonyesha na kuwalingishia funguo ya gari aina ya Jeep, warembo washiriki wa shindano hillo la kumsaka Vodacom Miss Tanzania 2011, baada ya kukabidhiwa gari hilo na wadhamini wakuu wa shindano hilo Vodacom, ambalo ndilo litakuwa zawadi ya mshindi wa kwanza wa yaani VODACOM MISS TANZANIA 2011. Hafla hiyo ya makabidhiano imefanyika leo jijini Dar es Salaam.
RAIS SAMIA AMELITENDEA HAKI TAIFA – SPIKA DKT. TULIA
-
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa
Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, ametoa pongezi za dhati kwa
Rais w...
51 minutes ago
No comments:
Post a Comment