Mkurugenzi wa Kamati ya Vodacom Miss Tanzania, Hashim Lundenga, akiwaonyesha na kuwalingishia funguo ya gari aina ya Jeep, warembo washiriki wa shindano hillo la kumsaka Vodacom Miss Tanzania 2011, baada ya kukabidhiwa gari hilo na wadhamini wakuu wa shindano hilo Vodacom, ambalo ndilo litakuwa zawadi ya mshindi wa kwanza wa yaani VODACOM MISS TANZANIA 2011. Hafla hiyo ya makabidhiano imefanyika leo jijini Dar es Salaam.
JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro limewakamata watuhumiwa wanne wakiwa na
jumla ya vipande 23 vya meno
-
JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro limewakamata watuhumiwa wanne wakiwa na
jumla ya vipande 23 vya meno ya Tembo, katika operesheni iliyoshirikisha
askari ...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment