Mkurugenzi wa Kamati ya Vodacom Miss Tanzania, Hashim Lundenga, akiwaonyesha na kuwalingishia funguo ya gari aina ya Jeep, warembo washiriki wa shindano hillo la kumsaka Vodacom Miss Tanzania 2011, baada ya kukabidhiwa gari hilo na wadhamini wakuu wa shindano hilo Vodacom, ambalo ndilo litakuwa zawadi ya mshindi wa kwanza wa yaani VODACOM MISS TANZANIA 2011. Hafla hiyo ya makabidhiano imefanyika leo jijini Dar es Salaam.
Wakulima wa Chama cha Msingi Namkeke Namtumbo Wanufaika na Kampuni ya 3H,
Tobacco Uchumi Wapanda
-
Wakulima wanaojihusisha na kilimo cha tumbaku kupitia chama cha msingi
Namkeke wamepata mafanikio makubwa kiuchumi kufuatia ushirikiano na
kampuni ya 3H...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment