Kocha wa mchezo wa ngumi Nchini, Rajabu Mhamila, ' Super D Boxing Coach' (katikati) akiwatambulisha mabondia, Deo Njiku wa Morogoro (kushoto) na Jonas Segu wa Dar es salaam, baada ya kupima uzito katika uwanja wa
Jamuhuri mjini Morogoro leo kwa ajili ya mpambano wa kuwania ubingwa wa Taifa wa Oganaizesheni ya ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBO) utakaofanyika kesho jumapili. Picha na Rajab Mhamila
Jamuhuri mjini Morogoro leo kwa ajili ya mpambano wa kuwania ubingwa wa Taifa wa Oganaizesheni ya ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBO) utakaofanyika kesho jumapili. Picha na Rajab Mhamila
No comments:
Post a Comment