Waziri Nchimbi akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Baraza jipya la Mihezo Tanzania walioteuliwa hivi karibuni, ambapo Baraza hili limezinduliwa rasmi na waziri huyo jana jijini Dar es Salaaam. Picha na Micuzi Blog
DC Mpogolo Awapongeza Walimu kwa Kazi Kubwa ya Kuandaa Viongozi
-
MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amewapongeza walimu kwa kazi kubwa
wanayoifanya katika jamii, akisema ni nguzo muhimu katika ujenzi wa taifa
...
1 week ago

No comments:
Post a Comment