Habari za Punde

*TAIFA STARS YAJIFUA KUWAKABILI MOROCCO JUMAPILI IJAYO

Mshambuliaji wa timu ya Taifa (Taifa Stars) Athuman Machupa (kushoto) akimtoka kiungo mshamuliaji wa timu hiyo Henry Joseph, wakati wa mazoezi yai timu hiyo, yanayoendelea kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mandalizi ya mchezo wao na Morocco utakaopigwa jumapili ijayo. Picha na Michuzi blog

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.