Mshambuliaji wa timu ya Taifa (Taifa Stars) Athuman Machupa (kushoto) akimtoka kiungo mshamuliaji wa timu hiyo Henry Joseph, wakati wa mazoezi yai timu hiyo, yanayoendelea kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mandalizi ya mchezo wao na Morocco utakaopigwa jumapili ijayo. Picha na Michuzi blog
NIT YAANZA MPANGO WA MIKOPO KWA WANAFUNZI WA URUBANI KUPUNGUZA UHABA WA
MARUBANI NCHINI
-
Na Janeth Raphael - MichuziTv .
WAKATI Tanzania ikiendelea kupanua sekta ya usafiri wa anga kupitia
ongezeko la ndege mpya, Chuo cha Taifa cha Usafirisha...
42 minutes ago
No comments:
Post a Comment