Mshambuliaji wa timu ya Taifa (Taifa Stars) Athuman Machupa (kushoto) akimtoka kiungo mshamuliaji wa timu hiyo Henry Joseph, wakati wa mazoezi yai timu hiyo, yanayoendelea kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mandalizi ya mchezo wao na Morocco utakaopigwa jumapili ijayo. Picha na Michuzi blog
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo April 19, 2024
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam April 19,
2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na
za nyuma za Maga...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment